Header Ads

LIGI KUU BARA:TIMU NANE ZIKO VIWANJANI LEO,KESHO MBILI

Dar Es Salaam,Tanzania.

LIGI kuu ya Vodacom Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea tena wikendi hii kwa timu kumi kushuka katika viwanja vitano vya miji mbalimbali nchini kuwania alama tatu muhimu.

Leo Jumamosi jumla ya timu nane zitashuka dimbani katika viwanja vinne na kesho Jumapili ligi hiyo itaendelea kwa mchezo mmoja pekee kuchezwa.Michezo yote itaanza saa 10:00 Jioni.

Ikumbukwe michezo hii ni ya raundi ya tatu.Vilabu vya Simba,Yanga na Azam FC havitacheza wikendi kutokana na kuwa na wachezaji wengi katika timu ya taifa.

Ratiba Kamili

Jumamosi 3/9/2016

Kagera Sugar v Mwadui FC 

Majimaji FC v Mtibwa Sugar

Mbao FC v Mbeya City CCM 

JTK Ruvu v African Lyon


Jumapili 4/9/2016

Stand United vs Toto Africans

No comments