Winga wa Liverpool, Mohamed Salah ametwaa tuzo ndani ya klabu hiyo ikiwa ni wiki chache tu tangu aanze kuitumikia.
Salah ambaye alionyesha uwezo mkubwa katika mwezi uliopita, amebeba Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi Agosti ndani ya klabu hiyo.
Salah alifunga mabao mawili na kutoa asisti mbili katika mechi zake
mbili za kwanza akiwa Liverpool katika Premier League na hivyo kuwa
kivutio kwa mashabiki wengi wa timu hiyo.
No comments